Msanuaji News Updates

Msanuaji News Updates

Share

JOURNALIST
HAPA UTAPATA KUFAHAMU TAARIFA ZOTE zilizojiri, zitakazojiri nje ya Tanzania na Ndani ya Tz

04/11/2022

https://youtu.be/0yfobFHPZHk

Hawa ni watanzania waishio nchini China na wakatoa maoni Yao baada Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassanbaada ya kuwa Rais wa kwanza mwanamke kufika nchini China kufanya ziara ya kikazi na kukutana na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

Photos from Msanuaji News Updates's post 02/11/2022
Want your business to be the top-listed Media Company in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address

Arusha