Tracy Rabi
Elimu ya Fedha na Biashara kwa watoto. Author | Founder @tanzaniayouthentrepreneurshipexperience
Nunua sasa, vitabu vya Elimu ya Fedha na Biashara kwa watoto wa umri wa miaka 8-17 hapa
Vitabu vinapatikana tawi la Elite Bookstore Mbezi Beach, , na Dodoma .supermarket
Mwanao atajifunza Maneno muhimu ya fedha, Jinsi ya kujenga tabia ya kuweka Akiba, kuanza Biashara akiwa bado mtoto na Jinsi ya kutumia Pocket money yake vyema!
21/03/2026
Eid Mubarak, little stars! πβ¨
20/03/2026
Ukipenda mwanao ajifunze zaidi kuhusu Fedha na Ujasiriamali, unaweza kupata nakala yako katika maduka yafuatayo:
Dar es Salaam & Dodoma:
β’ (Mbezi, Palm Village β DSM & Dodoma)
β’ (Mlimani City, Masaki, JKNA Airport β DSM)
β’ (Slipway β DSM)
β’ (Posta DSM & Dodoma)
Arusha:
β’ Book Point Bookshop .point.tz
β’ Kase Stores
Chukua nakala yako leo na uwe sehemu ya kizazi chenye ujuzi wa fedha na biashara, naturally π
Guess the Schoolβ¦
In commemoration of the Global Money Week, today I spent time with awesome group of students talking about π€π΅πΈπ°π΄π³πͺπ²πΆ
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
255