Simba Sc
Simba SC News
Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Julius Chacha, Stanley Mahushi, Sundwa Amos
29/12/2022
Kutoka kwa Maulid kitenge.
Zinaweza zikawa ni habari njema kwetu wana Simba SC Tanzania
TETESI: Aliyekuwa kocha klabu ya Vipers SC, Roberto Oliveira raia wa Brazil huenda akaungana na mshambuliaji wake wa zamani wa Vipers SC na mshambuliaji wa sasa wa Dalian FC, Cesar Manzoki katika klabu ya Simba SC baada ya wawili hao kuhusishwa na Wekundu hao wa Msimbazi.
Kuna ripoti kuwa dili za wawili hao zimekamilika bado kutangazwa tu.
Je Oliveira na Manzoki wataungana huko Simba SC?
25/12/2022
Inonga bado yupo sana 𝐌𝐒𝐈𝐌𝐁𝐀𝐙𝐈 🦁
Waliokuwa wanasema anaenda kwa wale wanaowaliza majirani wabishe na hili, hawezi kutoka kwenye klabu kubwa aende kwenye klabu ndogo k**a hiyo
Click here to claim your Sponsored Listing.