PR ICON
kuwa updated na story kali na za kusisimua about PUBLIC RELATIONS ACTIVITY, SUPER BRAND COMPANY BEIN
23/05/2026
DKT. POSSI : UTETEZI WA MAWAKILI SERIKALI DHIDI YA TAASISI ZAKE, KUSIMAMIA MASHAURI YA MADAI, USULUHISHI NI KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA.
Arusha.
Rai hiyo imetolewa na Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi wakati Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali , alisisitiza umuhimu wa umoja, mshikamano, upendo na weledi kazini kwa Mawakili wa Serikali kutetea Serikali na waambata wa Taasisi zake ili kulinda maslahi mapana ya Taifa, 21 - 22 Mei 2026 - Jijini - Arusha
Mkutano huo umekutanisha watumishi kutoka ofisi za mikoa 18 Tanzania Bara kujadili mafanikio, changamoto na namna ya kuimarisha utendaji kazi na ustawi wa watumishi. Naye, Wakili Alice Mtulo aliwapongeza watumishi kwa ushirikiano wao na kuwataka kutekeleza majukumu kwa kuzingatia sheria, maadili na viwango vya taaluma.
20/05/2026
MATUKIO
Dodoma.
Kutoka kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Micheweni, Mhe. Mahesh Shah (mwenye suti nyeusi) akisalimiana na nyota wa zamani na Beki Bora wa Klabu ya Manchester United Rio Ferdinand (kulia) mara baada ya kuwasili Bungeni ambapo alipokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Habari, Utamaduni , Sanaa na Michezo, Mhe. Paul C. Makonda (hayupo pichani) akifuatiwa na - Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Ndg. Greyson Msigwa (mwenye suti ya bluu) , Leo tarehe 20 Mei 2026 - Jijini Dodoma.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
1061