Manothu.com

Manothu.com

Share

PATA HABARI ZA SOKA ZA HAPA BONGO NA ULAYA HAPA

Photos 24/03/2019

Miamba wa Soka Nchini Morocco, klabu ya RSB Berkane Imethibitisha kumsajili Mshambuliaji hatari wa Kimataifa wa DR Congo na Klabu ya AS Vita Club, Jean-Marc Makusu Mundele, nyota huyo atajiunga na wababe hao baada ya msimu huu kumalizika.
- Mundele 26, Mshambuliaji mwenye nguvu, ujanja na akili nyingi ndani ya dimba amekuwa mmoja wa wachezaji muhimu ndani ya kikosi cha Vita Club chini ya kocha Ibenge.. Lakini dau La uhamisho €430,000 sawa na zaidi ya Bilioni 1 na 138m za kitanzania zimefanikisha usajili wake kwenda uarabuni kwa Mara ya tatu baada ya mwaka 2017 kuitumikiaWadi Degla SC ya Misri na Mwaka 2015 aliitumikia MC Oran ya Algeria kwa mkopo akitokea Standard Liège ya Ubelgiji.
- Vita Club wameanza kutafuta Mchezaji ambaye atakuja kuziba nafasi yake ndani ya kikosi hicho, na anaetajwa zaidi ni Mshambuliaji hatari wa klabu ya GOR Mahia na timu ya taifa ya Rwanda, Jacques Tuyisenge.

Photos 20/03/2019

FC Barcelona wameripotiwa kuwasilisha ofa ya Euro Milioni 60 kwa Ajax kwa ajili ya kupata saini ya beki wa kati Matthijs de Ligt. kwa mujibu wa taarifa kutoka Sport.

Barcelona wanaamini kwamba wanaweza kufanikisha dili hilo la kumnasa Matthijs de Ligt ndani ya kipindi cha mwezi mmoja .

Barca wamewasilisha ofa ya Euro Milioni 60 pamoja na bonasi na mkataba wa miaka mitano kwa mshahara sawa na ule atakaopewa Frenkie de Jong kiungo huyo ambaye dili lake la kwenda limekamilika.

Photos 15/10/2018

Usiache kuisikiliza ya 107.3

Hapa inazungumzwa kila taarifa ya kispoti unayohitaji kuisikia. 🔥🔥

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address

Dar Es Salaam