The APOS Academy

The APOS Academy

Share

Shaping the future, one young mind at a time.

24/03/2026

Hapa sisi tunaamini Kila kijana anayo fursa ya kufikia malengo yake.

Kaa tayari, mwezi wa saba tutaanza mafunzo katika maeneo yafuatayo

Elimu ya Secondary kwa miaka 2
Mitihani ya FTNA (QT)
Kwa wanaorudia mitihani ya kidato cha nne na cha sita

Pia tutakuwa na mafunzo ya
1. Ushonaji
2. Useremala
3. Umeme
4. Aluminum

Sambamba na hilo tutakuwa na mafunzo ya
1. Lugha ya Kichina
2. Lugha ya kiingereza
3. Mafunzo ya Ujasiriamali
4. Matumizi ya mifumo ya TRA, Nest, Brela
5. Scholarships na Fursa mbalimbali za kimataifa

22/03/2026

Karibu The APOS Academy

Mahali ambapo vijana wanajifunza, wanavumbua, na wanajenga mustakabali wao.

Ni kituo kinachotoa elimu ya Sekondari huria, mafunzo ya ufundi, mafunzo ya kidijitali na ukuzaji wa vipaji na uongozi.

Hapa hatufundishi nadharia tu — tunakuandaa kwa maisha halisi.

🫵 Jiunge nasi katika safari ya kujifunza, kubuni, na kuwa kiongozi.

👉👉Madarasa yataanza rasmi mwezi wa saba 2026💪

Chamwino Ikulu.

Want your school to be the top-listed School/college in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address

Chamwino Ikulu
Dodoma
41434