Mapinduzi Community - MACO
Is a non-governmental organization with
VISION; TO SEE VULNERABLE GROUPS ARE FREE FROM HIV & COVID 19 DISEASES, POVERTY, GENDER-BASED VIOLENCE.
12/08/2023
Tar 10/8/2023, MACO ilipata mualiko wa kushiriki kikao cha MTAKUWWA k**a mdau/asasi ya kiraia inayojikita zaidi katika kupambana na ukatili wa kijinsia. Kikao hichi cha MTAKUWWA kilikuwa na lengo kuu la kufanya tathmini ya mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia 2017-2022 kwa mkoa wetu wa Iringa. Tunashukuru kwa mualiko huu uliotukuka!
Tunatoa pongezi kwa halmshauri zote za mkoa wa Iringa kwa utekelezaji Mpango Kazi wa Taifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA). Vile vile pongezi ziwafikie kupitia mradi wa Epic kwa kuwezesha kikao hiki muhimu kilicholeta morale zaidi ya kwenda kufanya kazi kupambana na ukatili wa kijinsia.
PICHANI; (1-2) mwanzo Kulia ni MRATIBU WA MACO, pembeni yake akiwa KATIBU wa MACO. (4) Picha ya pamoja ya washiriki.
📷
Cc;
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the organization
Telephone
Website
Address
Iringa
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 15:00 |
| Saturday | 09:00 - 13:00 |