Pst.elphace amoss Ministries

Pst.elphace amoss Ministries

Share

The only official Pst.elphas amoss page,is the page aimed to spread the gospel of christ globe.pst.elphas also is an author and gospel musician.

04/04/2025

KILE AMBACHO MTU HUKITOA KUKITOA HUNYESHA KIWANGO CHA UPENDO NA KUJALI.

19/12/2022

UGUMU WA MAFANIKIO SIO VIKWAZO VYA MAFANIKIO; BALI NI TABIA NGUMU BAADA YA MAFANIKIO.

11/12/2017

BWANA YESU ASIFIWE .

soma ujumbe huu kwa makini na hata uurudie ili uelewe kisha jibu swali langu.

maandiko ya mungu amekuwa akitumia namba 40 na 70 kufanya badiliko la majira toka kizazi kimoja hadi kingine katika taifa la Israel. mfano
Katika biblia K*t 14:33,Yer 25:11 na Dan 9:2 na kuanguka kwa taifa hilo mwaka wa 70 miaka 40.Baada ya kupaa kwa YESU
Luk 21:24 na toka kuundwa kwa taifa la Israel mwaka 1948 had I sasa 2017 ni miaka 69 ni ambapo ndio Marekani imetangaza kuutambua Yerusalemu kuwa mji mkuu wa israel

JE UNAONA NINI NA UNAISI NINI KINATOKEA HAPO?.
BARIKIWA SANA NA M UNGU..........

Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Mbeya