Pst.elphace amoss Ministries
The only official Pst.elphas amoss page,is the page aimed to spread the gospel of christ globe.pst.elphas also is an author and gospel musician.
KILE AMBACHO MTU HUKITOA KUKITOA HUNYESHA KIWANGO CHA UPENDO NA KUJALI.
UGUMU WA MAFANIKIO SIO VIKWAZO VYA MAFANIKIO; BALI NI TABIA NGUMU BAADA YA MAFANIKIO.
BWANA YESU ASIFIWE .
soma ujumbe huu kwa makini na hata uurudie ili uelewe kisha jibu swali langu.
maandiko ya mungu amekuwa akitumia namba 40 na 70 kufanya badiliko la majira toka kizazi kimoja hadi kingine katika taifa la Israel. mfano
Katika biblia K*t 14:33,Yer 25:11 na Dan 9:2 na kuanguka kwa taifa hilo mwaka wa 70 miaka 40.Baada ya kupaa kwa YESU
Luk 21:24 na toka kuundwa kwa taifa la Israel mwaka 1948 had I sasa 2017 ni miaka 69 ni ambapo ndio Marekani imetangaza kuutambua Yerusalemu kuwa mji mkuu wa israel
JE UNAONA NINI NA UNAISI NINI KINATOKEA HAPO?.
BARIKIWA SANA NA M UNGU..........
Click here to claim your Sponsored Listing.