D Safari LTD.
Ni kampuni inayotoa huduma kwa wasafiri wa mabasi kutoka Mbeya kwenda mikoani kufanya booking za safari kupitia mabasi wanayohitaji kwa njia ya simu.
10/05/2018
Je wewe ni mkazi wa jijini mbeya na ni mtumihaji wa usafiri wa kwenda mikoani kwa njia ya bus? D safari ipo kwa ajili ya kuandaa safari yako mahali popote ulipo mkoani mbeya kupitia njia ya simu.
Unachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na D safari pale unapokuwa na safari , ili kuwekewa booking katika bus husika unalohitaji kusafiria. D safari itasimamia zoezi zima kuanzia utakapopiga simu , kuweka booking adi utakapokuja kukata tiketi. Wasiliana na D safari pale unapokuwa na safari ili kuweka booking 0652138591
30/04/2018
Davie safari ipo kwa ajili ya wewe mtumiaji wa usafiri wa bus uliyepo mkoani Mbeya , kuweka booking ya safari yako kuelekea mikoa mbalimbali kwa kuzingatia uchaguzi wa bus unalohitaji kusafiri nalo. Wasiliana nasi kuweka booking ya safari yako 0652138591
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Opening Hours
| Monday | 05:00 - 20:00 |
| Tuesday | 05:00 - 20:00 |
| Wednesday | 05:00 - 20:00 |
| Thursday | 05:00 - 20:00 |
| Friday | 05:00 - 20:00 |
| Saturday | 05:00 - 20:00 |
| Sunday | 05:00 - 20:00 |