Simulizi Zetu
0784468229
group la whatsp
https://chat.whatsapp.com/EIfeKtRLbKsJTItXf1HqJc
ššš šš®ššš«šš¤šāØ
Ndugu zangu wote tupeane mihariko
NATAKA NIWATUMIE HELA YA SKUKUUUUU MASHABIKI ZANGU
WEKEN NAMBA ZENU HAPO
NIMENG'OA JINO NIMECHOKA KUWEKA PANALDO KILA SIKU
ANAEJUA DAWA YA JINO
TUTAENDELEA NA HADITHI MDA SIO MREFU
02/01/2026
SEHEMU YA 10
SAPNA NDOA YA KULAZIMISHWA
Tukainuka huku amenishika bega na alivyo mrefu sasa,kanishika k**a mtoto wake tunatoka ananchekesha basi Nacheka kwaaibu tukiwa tunashuka ngazi kule kweny meza ya chakula wakaanza kupiga makofiš¤£,Raymond akaanza kuimba ujinga𤣠hadi aibu
Tukafika mezani tukakaa babamkwe akaniangalia anacheka tuu.
Mama akamuuliza mbona unamcheka mkwe wangu,baba akamwambia Yan nikiwambia nilipokutana na uyu Binti mtacheka, mama akauliza enhee wapi baba akaanza kuhadithia.wakt baba anahadithia Raymond anamsumbua kakaake na naskia anavyomwambia eti anamwambia kaka naona umeopoa chombo icho,alafu kaka unajua miaka ya shemeji,alivyosema hivo nikamkatisha nikamwambia Raymond mama anakuita akaelewa tu namkatishaš¤£.
Tuk**aliza kunywa chai mama akaenda chumbani kwake alafu Leo shangazi alikuwa anaondoka kwaiyo Ryan na Raymond wakampeleka nikabaki Mimi na baba tuu sebleni. Nikaamua kumuuliza ivi baba kwann ulinifanyia hivi,Kumbe sikuile ulikuwa unamaanisha ulivyoingealea kuniozesha Kwa mwanao babamkwe akajibu ndio na pia akasem yeye ni mwanaume wa maneno yake akisema kitu ujue k**aaanisha na lazima atakitimiza nikamuuliza Tena amepajuaje nyumbani kwetu, nilivyomuuliza ilo swali akacheka kwanza Kisha akasema Kuna siku ulikuwa unatoka shule nikakufatili mpaka kwenu na nakumbuka hiyo siku nilichokaa na nilipata shidaa maana sio kwaumbali ule kwenu ni mbali na shule.
Nikaanza kucheka nikamwambia siungesema tuu nikuelekeze baba,mmmmh we ungekubali kunielekeza wakti ulivyoambiwa tu kuhusu kuolewa ukaanza kulia hadi pale sebleni tukaskia,eeeh kumbe mlisikia babakasema ndio ndomaana tukawai kuondoka na wewe Yan iwe iweje ningekufata tuu uje kweny familia yangu maana unaakili sana na pia unahuruma.
Ndo maaan siku Ile ulivyokataa ela nikakwambia utaolewa na mwanangu.
Nikamwambia sawa baba ila Ile siku nilikuwa nakutania sasa ndo sinachakufanya sasahivi nshaolewa na ni mke wa mtu ambae ndo mwanao Tukaanza kuchekaš¤£
Itaendelea....
Full 1000
Whatsp 0784468229
29/12/2025
6--7
SAPNA (NDOA YA KULAZIMISHWA)
# # # # # # # # # # # # #
SEHEMU YA 6
Nilivyofika kwanza shemeji si aliamishwa akakaa pale mbele,akanigeukia uku anacheka akaniambia mkee karibu nyumbani kwetu utupikiage sasa 6
mama akampiga mkofi wa mgongo akamwambia Raymond na kakaako akija nakusemea unamtania mke wake.
Kumbe shemeji anaitwa Raymond,akamjibu mama eeeh kwanza mtu mwenyw hata hajui k**a kaolewa mke uyu mke mbona ataisoma namba uyu.Ningekuwa na uwezo ningeenda kumuuza shemeji Kwa waganga wa jadišmaana ni anakera ukiwa na hasira unaweza ukamroga ila ni kahandsome lakini sio Sanaa.
Tukashuka kweny gari maan tuliingia getini nyumba Yao ni kubwa Hadi nikawa nashangaaa haya ni Yale majumba nilikuwa nayaona kweny tv ni makubwaaa hayo kuangalia ivi mlango wa nyumba kubwa nikamuona babamkwe kasimama anatusubiri,kweny Ile familia watu wote siwajui na Wala sijawazoea ila yule mbaba nimeshamzoea na namchukulia k**a babaangu ingawa yeye ndo kasababisha yote haya kwaiyo nilivyomuona nilishangilia sana nikamkimbilia nikaenda kumkombatia uku nalia.
Raymond sasa akaanz kucheka katupita pale mlangoni Bado tumekombatiana akawa ananiambia aaaah mkee vipi unalia Tena 𤣠baba akamsukuma uko,wale washenga waliopanda gari nyingine wakashuka wakasalimia na babamkwe Kisha wakaondoka tukabaki sasa k**a familia,yule mmama aliekuwa akinibembeleza nikatambulishwa kumbe ni mamaake Raymond na mume wangu uyo mbaba ninaemwita babamkwe ndo baba wa mume wangu mmama mwengine ni shangazi wa bwana harusi wale wengine wote n majirani.
Nikawasikiliza walivyojitambulisha nikjua watasema jina la mtoto wao ila wapi nikavaa ujasiri nikamuuliza Kwan uyo mume wangu anaitwa nan alafu yupo wapi.Raymond alicheka Yan alicheka na safari hii sio Raymond tuu Hadi mamamkwe akawa anataka kucheka ila anajikaza tuu,babamkwe akasema wote nyamazeni Familia nzima ikanyamaza akaanza kuniambia sasa mwanangu mume wako yupo na anarudi kesho kutoka marekani kimasomo na kuhusu jina lake anaitwa anaitwa Ryan na anamiaka 27.
Nilidhan shemji Raymond ananitania kuhusu miaka nilivyoambiwa ni 27 nikamgeukia Raymond akanikonyeza Kisha akacheka𤣠Yan uyu shemeji sidhani k**a mzima huyu kwanza yeye nakucheka kucheka na yeye,kutania ndo usiseme sasa.
Baba akamwambia mama embu mpeleke mkweo chumbni Kwa mume wake apumzike kwanza maana ilikuwa ni mchana na nimechoka kwel,mama akanibebea mizigo yangu akanipeleka uko chumbani,Ile nyumba ni ya Ghorofa na chumba cha uyo mume wangu Ryan kipo juu.
Nikawa napiga story na mamamkwe wakati tunaenda ananiambia nisijali bwan niachane na Raymond nisimsikilize,na pia akaniambia mwanae ni wakawaida tu hatishi kiivo anakamwili kasize nisiogope,š³Kwan uyu mama anamaanisha Nini kusema ivo ama anadhan naogopa mambo niliofundishwa na shangaziš¤£.
Itaendelea....
SEHEMU YA 7
Nikamjibu sawa,akanifikisha chumbani nikaoneshwa bafu nikaenda kuoga Kisha nikarudi kulala. Nililala kuanzia mchana Hadi Hadi usiku saa mbili nimeamka tuu naangalia saa ni saa mbili aibu hii jamn Yan ukweni siku ya kwanza na nimeamka saa 2, nikaenda kuoga nikavaa kishati na kitenge ndani nilivaa taiti kwanza mwanzo nilivaa khanga ila nikavua baada ya kuona makalio yanajichora sana alafu Mimi sijui nijisifiaje maana nina mtako uo mixer mshepu Nina kasura kazuri sema tu ndo nimenyoa alafu Nina kamwili kadogo dogo.
Nilivyovaaa kitenge nikatoka njee nakuta shemeji ,shangazi wanaangalia tv baba hayupo seblen mama yupo jikoni nikaona Bora niende kumsaidia mama jikoni ila akili yangu yote ilikuwa kwenye tv,nikapitiliza kwenda jikoni sindoshemej akaniona akaanza kunitania Tena,eti shemeji MashaAllah MashaAllah, mke wa kaka uyo daaaaah baba kwanini hakunichagulia Mimi, shangazi akampiga kofi maana anaongea ujinga tuu.
Nikaenda jikoni nikamkuta mama yupo mwenyw jikoni nikaanza kumsaidia kazi ndogo ndogo k**a kukata nyanya,mama akaniambia mkwe embu nisaidie kupika mboga nataka nikaoge nikamwambia sawa usijali nikapika mboga,mimi kwenye mambo ya kupika nipo veryš,nikawapikia nyama rosti kwanz picha linaanza harufu ikaenda sebleni kote watu wanaguna tuu mmh mmh,Raymond akaropoka we mpishi we utatutoa pua wenzio ukuš¤£.
Nik**aliza kupika muda wa kuandaa nikaandaaa msosi mezani watu wakaja kula na babamkwe akaitwa, wamekula Raymond akaanza kusifia Yan baba chakula k**a hichi sijawai kula tangu nizaliwe mama akamkata jicho ilo Raymond mwenyw akabadilisha mada akasema alafu nimeongea na kaka kasema kesho atakuja mida ya asubuhi asubuhi mama akamuuliza umemwambia kuhusu mke,akajibu hapana,niseme ule ukwel alivyosema hivo nikajiskia vibaya maaana naolewa hata mume hanijui hata hajui k**a atakuta mke nyumbani kwaiyo niponipo tuu kimoyo najisemea ila sio mbaya hata hakinikata siondoki hapa ntakua ata dada wa kazi tuu.
š¤£.
Watu wak**aliza kula nikasaidizana na mama tukatoa vyombo,nilivyofika jikoni nikaosha kabisa nikaenda kulala nikakumbuka niliambiwa hamna kulala bila kuoga na shangazi,kwaiyo nikaamka nikaenda kuoga Kisha ndo nikalala usingizi mtamu,asubuhi na mapema nikaamka saa kumi na moja,nilishtuka muda uo kwasababu nishajizoesha kuwai kuamka kipindi kile naenda shule nilikuwaga naaamka saa kumi kamili.
Nilivyoamka nikaenda kuoga nikavaaa khanga kwasababu muda huo watu hawajaamka kwaiyo nikawa huru nikavaa khnnga na kishati hata kitop sikuwa nimevaa sababu najua watu hawawezi kuwai kuamka sababu ya uchovu nusu saa tuu ntakuwa nshamaliza kutengeneza chai.Nikaenda sebleni hamna mtu adi taa zimezimwa kwakua nilikuwa sijui sehemu ya kuwashia taa nikaenda moja Kwa moja jikoni nikawasha taa nikaanza kuandaa chai uku naimba zangu .
Itaendelea
Full 1000
Whatsp 0784468229
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Telephone
Website
Address
Mbeya