tvImaantz

tvImaantz

Share

Elimu Bila Mipaka

06/07/2026

Shule ya Sekondari ya Forest Hill, inayomilikiwa na Taasisi ya The Islamic Foundation iliyopo mkoani Morogoro, imezidi kufanya vizuri katika matokeo ya Kidato cha sita baada ya wanafunzi wake wote kufaulu mtihani huo wa taifa.

Kati ya wanafunzi waliohitimu, 49 wamepata Daraja la Kwanza, 12 Daraja la Pili na wawili Daraja la Tatu, huku shule hiyo ikiwa haikupata mwanafunzi aliyepata Daraja la Nne wala Sifuri.

05/07/2026

Surah Al - Mu’minun || Ayah 109

Want your business to be the top-listed Media Company in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Morogoro