Chemsha BONGO
PATA HABARI MBALIMBALI MICHEZO, VICHEKESHO,VITUKO n.k
05/03/2026
MICHEZO; Baada ya dabi kali kati ya Simba SC na Young Africans SC, nyota wa Simba Innocent Loemba ameonyesha moyo wa sportsmanship kupitia Insta Story yake.
Loemba amemuomba radhi beki wa Yanga Dickson Job kufuatia tukio lililotokea wakati wa mchezo huo. Kupitia ujumbe wake aliandika: โI compatible with you ๐๐โ, ujumbe unaoweza kufasiriwa kwa Kiswahili k**a โNinakuelewa / nakuonea huruma na niko pamoja na wewe.โ
Kitendo hicho kinaonyesha heshima na utu kati ya wachezaji licha ya ushindani mkali uliopo kati ya Simba na Yanga. Mashabiki wengi wamepongeza hatua hiyo ya Loemba kuonyesha upendo na kujali mchezaji mwenzake baada ya tukio hilo uwanjani.
SIKU YA KWANZA KUFANYA MAPENZI ULIKUA NA UMRI GANI๐
05/03/2026
Toooop ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ score๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |