Zanzibari Yetu

Zanzibari Yetu

Share

Jukwaa la mawasiliano kwa wapenda habari popote walipo duniani
Karibuni sana kwenye ukurasa huu, tuhabarishane

Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka 03/11/2014

Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka http://wp.me/p2Hr2P-4GZ

Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba jana alivamiwa na kikundi cha watu wachache waliohudhuria mdahalo wa Katiba wakati akihoji vitendo vya baadhi ya watu kutumia vibaya jina la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. [ 401 more words. ]

Nahodha afunguka Zanzibar 02/11/2014

Nahodha afunguka Zanzibar http://wp.me/p2Hr2P-4GQ

Nahodha afunguka Zanzibar Zanzibar: Wakati Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), ikitimiza miaka minne, Waziri Kiongozi Mstaafu wa awamu ya sita, Shamsi Vuai Nahodha amesema ipo haja ya kuendelea kuwa na umoja huo kwa vile sababu zilizofanya kuundwa kwa Serikali shirikishi ya vyama vya CCM na CUF bado zipo. [ 343 more words. ]

Pambano la Dk Shein, Maalim Seif limeshaanza 30/10/2014

Pambano la Dk Shein, Maalim Seif limeshaanza http://wp.me/p2Hr2P-4Gv

Pambano la Dk Shein, Maalim Seif limeshaanza Zanzibar. Kabla na baada ya kuandikwa kwa Katiba Inayopendekezwa, wananchi wa Zanzibar wamebaki katika kizungumkuti kupambanua, kupima na kupembua ni nani kati ya Rais, Dk Ali Mohamed Shein na Makamu wake wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad anasema kweli na kustahili kusikilizwa kwa kina cha ufahamu. [ 545 more words. ]

Mbowe:Ukawa sasa ni mbele kwa mbele 28/10/2014

Mbowe:Ukawa sasa ni mbele kwa mbele http://wp.me/p2Hr2P-4Gk

Mbowe:Ukawa sasa ni mbele kwa mbele Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kamwe hautarudi nyuma katika makubaliano yaliyofikiwa juzi, likiwamo la kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi mbalimbali za uongozi. [ 351 more words. ]

Want your business to be the top-listed Media Company in Stone Town?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address

Stone Town
255