TBCArusha
TBC Arusha 92.1MHz FM owned by @tbc_online
WASANII WA SINGELI MNA UJUMBE WENU KUTOKA KWA-
Host:
Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana Joel Nanauka amesema serikali imejizatiti kuendelea kushirikiana na nchi mbalimbali barani Afrika katika kuimarisha mifumo ya kiteknolojia ili kunufaika kiuchumi.
Ameyasema hayo katika kongamano la Tisa la YouLead Summit ambalo limefanyika MS TCDC mkoani Arusha akiwahimiza vijana kushiriki fursa zilizopo kupitia miradi na programu mbalimbali za kiserikali ikiwemo jukwaa la “Vijana Platform” lenye lengo la kuongeza ujuzi ili kukuza uchumi jumuishi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Arusha Chini