Mwl David

Mwl David

Share

Karibu tujifunze neno la Mungu na kuomba pamoja!

29/05/2024

Kwenye haya maisha, hata k**a haumuelewi mtu leo, chonde-chonde USIMDHARAU, usimseme vibaya, mara zote maono mwanzoni huwa hayaeleweki machoni pa watu wengi. Better kukaa kimya na kunyamaza kabisa huku ukimuombea mtu huyo. Mchakato wa kufikia MAONO una vipindi vingi tofauti-tofauti.

ALIDHARAULIWA NA KUKATALIWA NA WATU; MTU WA HUZUNI NYINGI, AJUAYE SIKITIKO. (Isaya 53:3). Watu walificha nyuso zao wasimuone 🤔🙌🏻🧎🏻‍♂️

Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Address


Arusha