JAMII Helper media

JAMII Helper media

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from JAMII Helper media, Public Figure, Sing'isi, Arusha.

11/03/2026

πŸŽ’ BACK TO SCHOOL SUPPORT DRIVE πŸ“š

Kupitia JAMII Helper, tunaungana kuleta tabasamu kwa watoto wenye uhitaji kwa kuwasaidia kupata mahitaji ya shule.

πŸ“… 25 Aprili 2026
πŸ“ Simanjiro – Manyara

Unaweza kuwa sehemu ya mabadiliko haya kwa kuchangia:
β€’ Fedha
β€’ Mahindi na Maharage
β€’ Mafuta ya kupikia na Chumvi
β€’ Sare za shule
β€’ Vifaa vya michezo

🀍 Kila mchango wako unaweza kumbadilishia mtoto maisha.

πŸ’³ Lipa Namba: Halopesa 24016520
(Jina: JAMII Helper)

πŸ“ž Mawasiliano:
0624 188 209 | 0612 419 023
0692 729 000 | 0622 285 196

Nijuze β€’ Nijue β€’ Nimjuze
Let’s Get Inspiration Together πŸ’ͺ

Simanjiro InspireChange

Photos from JAMII Helper media's post 29/12/2025

Thanking God πŸ™.

Photos from JAMII Helper media's post 22/12/2025

JAMII Helper ✊ ni wakati wa VISION na MISSION.

Photos from JAMII Helper media's post 11/08/2025

Katika picha ni viongozi watendaji wa JAMII Helper Kukwaja Kilaja Funuki & Nishary Juma Kapanga

Wakitoa semina elekezi iliyofanyika kwa wanachama na viongozi wa vikundi vya VICOBA wasiopungua 35 kijiji cha kilombero kata ya Rahaleo, Nachingwea mkoa wa Lindi

Miongoni mwa masuala waliyofundishwa ni pamoja na:-
1. Somo la hisa.
2. VICOBA
3. Katiba
4. Marejesho
5. Gawio
6. Uanachama
7. Ujasiliamali
8. Fursa
9. Namna ya kuwalinda watoto wao.

Mara baada ya semina hiyo kuna tuliyo yabaini kutoka kwenye VICOBA hivyo.

1. Mazoea ya kuendeleza masuala yasiyo na tija kwao (kufanya kwa mazoea bila uthibitisho).
2. Kutokuwa na elimu pamoja na uelewa wa kitosha kuhusiana na masuala ya kifedha hususani VICOBA.
3. Hawajui nini wanatakiwa wafanye.
4. Hawana maono ya kuwa wafanikiwa zaidi ya kukopeshana wao kwa wao.
5. Hawana kiu na shauku ya kutaka kujifunza kutoka kwa wataalamu wa fedha pamoja na maendeleo ya jamii.

Tuwasaidie watu hawa ili wafanikiwe. Tupo tayari kuja kwako.

08/08/2025

*Safari ya maisha ni safari ambayo kiubinadamu haina mpangilio maalum-life is not static it's dynamic.πŸ‘‡πŸ‘‡*
Nilianza kwa idadi ya mtu mmoja kufolo akaunti yangu,ila kufikia leo ni zaidi ya watu elfu moja wamefika na kupenda kile nafanya.

Mungu ni mwema huenda wewe ni miongoni mwa idadi hii na k**a sio basi siku moja naamini utakuwa miongoni mwa idadi kubwa ya watu zaidi ya *milioni 15-15M followers*

Nilishirikisha watu tofauti tofauti kuwaelezea maono yangu, wapi nataka kufika,nani nataka kumfikia ikiwemo mawaziri kafhaa wa hili taifa hususani *Waziri Dorothy Onesphora Gwajima* nakumbuka alisema *"anza na kile ulicho nacho kisha nitakuona na kusimama upande wako"*

Niliafiki na sasa Mungu amemleta kwa upya na kutembea sambamba, ukiona mtu ametulia kimya zifi kumuombea kuna mpito anaupitia. Omba juu yake ili avuke akuvushe usitake kushindana nae.

Leo naishia hapa tukutane wakati mwingine kunako majaaliwa.

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Sing'isi
Arusha