AFYA
Tunza afya ,,tunza afya Yako, tumia chakula k**a dawa na sio dawa k**a chakula
19/01/2023
AFYA
,, Afya ni mhim sana Kwa Kila mtu ,,bila kuwa na afya njema huwezi kufanya kazi,,huwezi kuwekeza katika ENEO LA uchumi ,,huwez kumtumikia Mungu ipasavyo ikiwa afya Yako ni duni
Hivyo ni mhim sana kutunza na kujali afya Yako Kwa :
1,kula Kwa wakati
2,kula matunda
3,Usafi wa mwili na mazingira
Kila siku , tumia chakula k**a dawa na sio dawa k**a chakula ,, kula matunda Kwa wingi ili kuimarisha mwili nakuupa mwili uwezo wa kufanya kazi ipasavyo
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha
74470