Pastor Sam Sasali

Pastor Sam Sasali

Share

Christian Events Reputable Public Figure

21/05/2026

WATU HAWAJALI📌

Mara Kadhaa nimewahi Sema Watanzania wengi Wanaume hawafi Kutokana na Ugonjwa wao, wanakufa either kushindwa kumudu gharama za matibabu, uzembe kwenye huduma ama Upungufu wa Vitendea Kazi mfn. Mitungi ya Oksijeni etc....Fedha (sio Ukwasi) inakupa nafasi ya kufanya machaguo ya Uyatakayo.

Biblia inasema "Hekima Ya Masikini Haisikilizwi" ni Vema tukawa very Seriously na Kila fedha Mungu anayopitisha mikononi Mwetu zipo Nyakati na Majira tutazikumbuka sababu hatukufanya zitusaidie baadae.

Tunapambana Miaka 50 kupata fedha ambazo tunatumia fedha hizo hizo baadae kututibia maradhi ya Uzeeni.....Hii sio Sawa.....

Mungu Akupe Neema Ya Kuuweza Wakati Ujao...
Reposted from

19/05/2026

Today Gona be a Good Day....

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Arusha