CCM Dijitali - Blog
Karibu katika hii Globu ya jamii kwa habari mbali mbali na matukio, Kitaifa na Kimataifa. Unakaribishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu.
05/06/2024
https://instagram.com/p/C71K9F_NcbR/
MAHAFALI YA TATU YA BODI YA USAJILI WA WATHAMINI @wizara_ya_ardhi
14/01/2024
RAIS DKT.MWINYI AFUNGA MAFUNZO YA WANEC
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amefunga semina ya mafunzo ya Uongozi ya siku mbili kwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ya yaliyofunguliwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan ,
📌 Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja
🗒 14 Januari 2024.
13/01/2024
MWENYEKITI WA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MAFUNZO YA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA - ZANZIBAR
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Mafunzo ya Siku Mbili Kwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Mapema Leo Tarehe 13 Januari 2024 Zanzibar.
Mafunzo Hayo Yanafanyika Kwa Lengo la Kuendelea Kuwajengea Uwezo Wajumbe pamoja Kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
13/01/2024
📌📌 MWENYEKITI WA CCM DKT SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MAFUNZO YA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA - ZANZIBAR
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Mafunzo ya Siku Mbili Kwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Mapema Leo Tarehe 13 Januari 2024 Zanzibar.
Mafunzo Hayo Yanafanyika Kwa Siku Mbili ikiwa na Lengo la Kuendelea Kuwajengea Uwezo Wajumbe pamoja Kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Arusha