Agri Smart TV
Official onlineTv Dealing with Agriculture.Promoting Agribusiness ,Food safety,opportunities and info
14/10/2023
Happy Nyerere Day Fam
Ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi yanayoendelea kuikumba dunia ,wataalam wa kilimo wanashauri wakulima kujikita kwenye kilimo Ikolojia ambacho ni rafiki kwa mazingira,afya na uchumi pia.Je kilimo ikolojia ni nini?
Full video ipo hapa na majibu yote
Kutokana na hali ya upungufu wa mvua inayoendelea nchini,wakulima wameshauriwa kufanya kilimo cha umwagiliaji wa matone ili kupata uhakika wa chakula.Agri smart tv tumekuwekea video yenye mafunzo kuhusu umwagiliaji wa matone.
Zao la tangawizi ni moja kati ya mazao yenye matumizi mengi lakini pia ni moja kati ya zao ambalo halilimwi kwa wingi hapa nchini hivyo kufanya soko lake la ndani na nje liwe kubwa kutokana na uhitaji wa zao hilo.
Tumekuwekea simulizi nzima ya zao la tangawizi kwenye video hapo chini.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Telephone
Address
15883
Arusha
0000