Human Rights Desk

Human Rights Desk

Share

Human Rights Desk is a program with the ELCT North Western Diocese aiming to minimize community and Mission statement of the Human Rights Desk:
1.

Photos from Human Rights Desk's post 25/11/2019

Katika kuelimisha jamii kuondokana na ukatili. Mfundishe mtoto njia impasayo naye hataiacha hata awe mzee.

31/03/2017

Shalom wana FB. Kitengo cha Haki za Binadamu cha KKKT -DKMG kinafanya kazi katika jamii ya mkoa Kagera ktk wilaya 5 na moja katika mkoa wa Geita. kinashughulika katika kuhakikisha jamii inapata Haki, inazifahamu haki zake, inadai na kuzilinda haki hizo.

kwa ajili ya ufanisi katika kazi hiyo tunahitaji vijana waliohitimu masomo ya sheria( wanasheria) wa kujitolea. Tunanazo nafasi 2 kwa vijana hao ambao wanamzigo wa kuisaidia jamii kwa moyo na kwa upendo, karibuni sana.

Kwa sababu kazi hiyo ni ya kujitolea tungependa atakayekuwa tiyari awasiliane nasi kwa barua pepe; [email protected]. Karibuni sana na Mungu awabariki .

Photos from Human Rights Desk's post 07/08/2016

Wanafunzi wwa shule ya msingi Kibirizi wwanaoishi katika mazingira hatarishi wakipokea vifaa vyao shule kutoka kundkundi LA Tulihamo group LA Kitengo cha Haki chini ya msaidizi Haki Prince Phenias Wa usharika Kyaitoke.

Want your school to be the top-listed School/college in Bukoba?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


ELCT NWD P. O. Box 98
Bukoba