Human Rights Desk
Human Rights Desk is a program with the ELCT North Western Diocese aiming to minimize community and Mission statement of the Human Rights Desk:
1.
25/11/2019
Katika kuelimisha jamii kuondokana na ukatili. Mfundishe mtoto njia impasayo naye hataiacha hata awe mzee.
Shalom wana FB. Kitengo cha Haki za Binadamu cha KKKT -DKMG kinafanya kazi katika jamii ya mkoa Kagera ktk wilaya 5 na moja katika mkoa wa Geita. kinashughulika katika kuhakikisha jamii inapata Haki, inazifahamu haki zake, inadai na kuzilinda haki hizo.
kwa ajili ya ufanisi katika kazi hiyo tunahitaji vijana waliohitimu masomo ya sheria( wanasheria) wa kujitolea. Tunanazo nafasi 2 kwa vijana hao ambao wanamzigo wa kuisaidia jamii kwa moyo na kwa upendo, karibuni sana.
Kwa sababu kazi hiyo ni ya kujitolea tungependa atakayekuwa tiyari awasiliane nasi kwa barua pepe; [email protected]. Karibuni sana na Mungu awabariki .
07/08/2016
Wanafunzi wwa shule ya msingi Kibirizi wwanaoishi katika mazingira hatarishi wakipokea vifaa vyao shule kutoka kundkundi LA Tulihamo group LA Kitengo cha Haki chini ya msaidizi Haki Prince Phenias Wa usharika Kyaitoke.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the school
Telephone
Website
Address
ELCT NWD P. O. Box 98
Bukoba