Milingoti mitatu
Karibu katika ukurasa huu kupata kujua habari mbalimbali za kimichezo ndani na nje ya Tanzania
18/04/2022
K**a uliangalia mpira katika ya Simba sc dhidi ya Orlando pirates huyu jamaa unampa asilimia ngapi ?? nungunungu.
:
05/04/2022
✍️Orlando pirates News to Simba sc Haji Manara Receive News Amazing
This is football don't panic
🗣️Call me Molauranta
:
03/04/2022
SIMBA ROBO FAINALI
klabu ya simba sc yatinga hatua ya Robo fainali kombe la shirikisho Afrika baada kuifunga US Gendermerine National magoli 4-0 magoli yalifungwa na Kanoute 63' Mugalu ambaye ameingia kambani mara mbili dakika 68 na dakika 78 na goli la nne amejifunga mchezaji wa US Gendermerine National Hamisi dakika 84 ya mchezo.
Simba sc washika nafasi ya Pili wakiwa na alama 10 na magoli yakufungwa na kufunga 2 ya kundi lao D ambapo nafasi ya kwanza ikiongozwa na RSB Berkane wa Morocco ambao nao wana alama 10 magoli yakufungwa na kufunga 2.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam