Medics Updates
HEALTH And MEDICINE
14/02/2026
🚨It's ALL ABOUT LOVE & KINDNESS💚❤ ⚕
13/02/2026
🚨Anaitajika Pharmaceutical Technician Kufanya Kazi Polyclinic Dar es Salaam⚕💚💫
21/01/2026
CLOTRIMAZOLE Va**na Pessaries/Cream 💊Hii ni dawa inayo tumika kutibu Va**nal Candidiasis or Yeast Infections (Maana yake utibu fungusi wa Ukeni)
JE UTAJUAJE K**A UNA FUNGUSI WA UKENI.
▪︎Kuhisi Miwasho au Hali ya Kuchoma Ndani au Inje ya Uke.
▪︎Uwekundu, Kuvimba na Maumivu Ukeni.
▪︎Kutokwa na Uchafu Mweupe Ukeni husio na harufu.
▪︎Maumivu Wakati wa Kukojoa au Wakati wa Kufanya Mapenzi.
JE KIPI NI CHANZO CHA FUNGUSI WA UKENI.
▪︎Matumizi ya Mara kwa Mara ya Dawa za Ant biotics mfano Ciproflaxin, doxcycline, Amoxicillin, Metronidazole nk.
-Dawa hizi za Ant biotics zikitumika mara kwa mara Upunguza kinga ya Mwili na Kuua bacteria Walinzi waitwao Normal frola.
▪︎Kubadilika kwa Homoni.
-Hali hii utokea kwa Wajawazito, Wanao tumia Uzazi wa Mpango na Wanawake wenye Tatizo la Mfumo wa Mzunguko. (hali hizi zote upelekea kuzalisha fungusi ukeni)
▪︎Kuwa na Kinga dhaifu katika Mwili.
▪︎Matumizi ya Vitu vyenye Kemikali Ukeni.
Mfano: sabuni( medicated soap), Pedi, kupachika/kuingiza vitu Ukeni na kuvaa Nguo za Ndani za kubana kwa Muda Mrefu.
🚨follow us FB Updates.
🚨MEDICS UPDATES💊💥
Ana hitajika Mtoa Dawa Mwenye ADDO..hasa wa kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa k**a Geita,Bukoba,Kigoma n.k DUKA lipo Ngara-Mrunyinya.
Contact via 0658568846 au 0763585448.
01/01/2026
🚨2026 YEAR OF CHANGES And JOYFULLY💫🎊
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the practice
Telephone
Website
Address
583 Iringa Town
Dar Es Salaam
AFYANIUHAI��