Project Bible

Project Bible

Share

its all about Bible verses and if you have question you may ask.

24/05/2023

7:15-27

15. “Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana k**a kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali.

16. Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La!

24/05/2023

2 Wakorintho 11:13-15

13 Watu k**a hao ni manabii wa uongo, ni wafany akazi wadanganyifu ambao wanajifanya kuwa mitume wa Kristo. 14 Na hii si ajabu, kwa sababu hata shetani hujigeuza aonekane k**a malaika wa nuru. 15 Kwa hiyo si ajabu k**a malaika wake shetani nao wanajigeuza waonekane k**a watumishi wa haki. Mwisho wao utakuwa sawa na matendo yao.

Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Boko Tegeta
Dar Es Salaam