Project Bible
its all about Bible verses and if you have question you may ask.
24/05/2023
7:15-27
15. “Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana k**a kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali.
16. Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La!
24/05/2023
2 Wakorintho 11:13-15
13 Watu k**a hao ni manabii wa uongo, ni wafany akazi wadanganyifu ambao wanajifanya kuwa mitume wa Kristo. 14 Na hii si ajabu, kwa sababu hata shetani hujigeuza aonekane k**a malaika wa nuru. 15 Kwa hiyo si ajabu k**a malaika wake shetani nao wanajigeuza waonekane k**a watumishi wa haki. Mwisho wao utakuwa sawa na matendo yao.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Boko Tegeta
Dar Es Salaam