Organization for Community Development - OCODE
It was established in 1999 and registered in 2003 under the Society Ordinance Act of 1954
12/11/2024
At OCODE, we’re committed to empowering young people to shape their own futures. Through the Bonga (Back-to-School) project, our goal is to support 700 out-of-school adolescents in and by 2027, giving them a second chance at education.
Join us on this journey to create lasting, positive change in our communities.
…………………………………………………………………………………………..
OCODE tunaamini katika kuwawezesha vijana kujenga maisha yao ya baadaye. Kupitia mradi wa Bonga (Back-to-School), tunalenga kuwasaidia vijana 700 waliokosa fursa ya elimu ifikapo mwaka 2027, katika wilaya ya Bagamoyo na Manispaa ya Kinondoni. Jiunge nasi katika safari hii ya kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii zetu.
01/10/2024
Jana tulianza mafunzo kwa walimu wakuu, wasaidizi, walimu wa madarasa ya awali, na darasa la kwanza kutoka shule tatu za (Mbweni, Kawe, na Mtongani).
Lengo la mafunzo haya ni kuongeza uelewa wa walimu wetu juu ya elimu bora jumuishi ili kuwawezesha kuwasaidia watoto wetu wakati wa kujifunza. Mafunzo haya yataendelea katika wilaya ya , yakianza kesho, Jumatano tarehe 2 Oktoba.
Unadhani elimu jumuishi inaweza kubadilisha vipi shule zetu? Tuambie maoni yako!
…………………………….
Yesterday, we kicked off training for head teachers, assistants, pre-primary teachers, and grade one teachers from three schools in (Mbweni, Kawe, and Mtongani).
The aim of the training is to increase our teachers’ understanding of quality inclusive education, enabling them to better support our children in the learning process.
The next phase of 2 days training will take place in Bagamoyo, starting tomorrow, Wednesday, October 2.
How do you think inclusive education can transform our schools? Let us know in the comments!
18/07/2024
Today, OCODE, in partnership with the Bagamoyo District Council, embarks on an exciting four-day journey to gather preliminary information from ward offices, and primary and secondary schools. This dynamic mission aims to pinpoint key areas for transformative interventions in selected wards of Bagamoyo District, paving the way for meaningful and lasting positive change in our communities.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the organization
Website
Address
House No. 11, Msonge Street, Mikocheni A, Kinondoni
Dar Es Salaam
+255
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 16:00 |
| Tuesday | 08:00 - 16:00 |
| Wednesday | 08:00 - 16:00 |
| Thursday | 08:00 - 16:00 |
| Friday | 08:00 - 16:00 |