Argosy Security Solution

Argosy Security Solution

Share

Polisi wajeruhi wawili kwa risasi wakidaiwa kukaidi amri 31/12/2017

Tii amri bila shuruti

Polisi wajeruhi wawili kwa risasi wakidaiwa kukaidi amri Watu wawili wamelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wakiuguza majeraha ya risasi walizopigwa na polisi

21/12/2017

:Mtu mmoja aliyejitambulika kwa jina la Bahati Peter mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa Old Shinyanga amefariki baada ya kupigwa risasi wakati akijaribu kuwatoroka polisi waliomkamata katika tukio la ujambazi.

Mtu huyo alikamatwa akiwa na bunduki aina ya short gun yenye namba za usajili 006096210 TZ iliyokuwa na risasi 10 inayodaiwa kuwa ni mali ya kampuni ya ulinzi ya unity security ya mjini Shinyanga iliyokuwa imeporwa na marehemu kwa kushirikiana na wenzake baada ya kumjeruhi mlinzi aitwaye Sospeter Richard.

Want your business to be the top-listed Business in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Samora Avenue
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Sunday 08:00 - 12:00
18:00 - 19:00