AFYA kwanza
TUNATATUA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA PIA TUNATOA USHAURI BURE
📞0717547978
07/11/2022
DR ERNEST HERBAL THERAPY
Hawa NI wataalamu wa tiba za magonjwa mbali mbali ya kiafya kwa kutumia mimea asilia
Lakini pia tuna wanatumia virutubisho lishe kutatua changamoto mbali mbali za kiafya
Baadhi ya changamoto wanazotatua NI K**a vile
✓kisukari
✓pressure
√ini
✓figo
✓bawasili
✓tezi dume
✓vidonda vya tumbo
✓nguvu za kiume
✓pid
✓mimba kuporomoka
✓kushindwa kupata ujauzito
✓miguu kuwaka Moto
Gharama zao NI nafuu na wanatoa ushauri bure kabisa
Wanopatikana kigoma mjini.kwa mawasiliano ,ongea na daktari
📱0717547978
01/11/2022
*Dalili za mwanamke mwenye tatizo la mvurugano wa homoni(Hormonal Imbalance)*
🥦 Kuwa na uke mkavu
🥦 Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🥦 Hedhi kubadilika badilika
🥦 Kutokwa na damu ya hedhi kwa muda mrefu zaidi ya siku saba
🥦 Kutokwa na damu kidogo sana au nyingi sana wakati wa Hedhi
🥦 Uchovu wa mara kwa mara
🥦 Hasira za mara kwa mara
🥦 Kukosa usingizi
🥦 Kuongezeka kwa tumbo(kitambi) na manyama uzembe
🥦 Kuharibika kwa ngozi (kuwa na chunusi na vipele)
🥦 Kusahau sana
🥦 Maumivu ya viungo
🥦 Upungufu wa nywele kichwani au nywele kukatika katika ovyo
🥦 Msongo wa mawazo
🥦 Maumivu ya kichwa mara kwa mara
*Madhara yatokanayo na dalili hizi ni pamoja na;-*
🥦 Kutoshika kwa ujauzito kwa muda mrefu
🥦 Mimba kuharibika mara kwa mara
Je ni dalili GANI inayokusumbua Mara KWA kwa Mara?
01/11/2022
Dr_Ernest_herbal_therapy tunakutakia kheri na baraka tele katika mwezi huu wa november.ni siku chache zinakaribia katika kufunga mwaka.
31/10/2022
*DALILI ZA P.I.D*
Whatsapp/call
#0717547978
Je ni wewe au ndugu, jamaa au rafiki yako? Okoa maisha yako/yake sasa tiba bora ya asili ya PID,UTI na fangasi sugu imepatikana
Mwanamke akianza kuonyesha dalili za ugonjwa wa P.I.D anaweza:
1. Kuhisi maumivu ya tumbo hasa maumivu chini ya kitovu
2. Kutokewa na maumivu ya mgongo na kiuno mara kwa mara
3. Kutoa uchafu sehemu za siri ambao huambatana na harufu mbaya ama laa
4. Kupata maumivu wakati wa kukojoa
5. Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
6. Kupata damu bila mpangilio akiwa kwenye siku zake
7. Kuwa na homa mara kwa mara
8. Kichefuchefu
9. Kutapika
10 Kuwa na msongo wa mawazo na kuumwa kichwa
11 kupata miwasho ukeni isiyo eleweka
12 kuwa na uke mkavu
13 kukosa hamu ya tendo
-asili-Dr Ernest herbal therapy
https://wa.me/message/MG3PHRIB6UD7I1
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Majengo Sokoni
Dodoma