Ofisi ya Rais-UTUMISHI
Jukumu kubwa la OR-MUUUB ni kuimarisha Utawala Bora katika uendeshaji wa shughuli za Serikali kwa kubuni Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu
14/05/2026
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
01/05/2026
MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI (MEI MOSI)
Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, leo tarehe 1 Mei, 2026 wameungana na watumishi wengine kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yenye kauli mbiu isemayo “Kazi zenye Staha ni Nguzo Imara kwa Maendeleo Endelevu katika Utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050” ambapo kimkoa yamefanyika katika viwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma.
01/05/2026
HERI YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the organization
Telephone
Website
Address
670
Dodoma