Ofisi ya Rais-UTUMISHI

Ofisi ya Rais-UTUMISHI

Share

Jukumu kubwa la OR-MUUUB ni kuimarisha Utawala Bora katika uendeshaji wa shughuli za Serikali kwa kubuni Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu

14/05/2026

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KAZI KWA WATUMISHI WA UMMA

Photos from Ofisi ya Rais-UTUMISHI's post 01/05/2026

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI (MEI MOSI)

Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, leo tarehe 1 Mei, 2026 wameungana na watumishi wengine kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yenye kauli mbiu isemayo “Kazi zenye Staha ni Nguzo Imara kwa Maendeleo Endelevu katika Utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050” ambapo kimkoa yamefanyika katika viwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma.

Photos from Ofisi ya Rais-UTUMISHI's post 01/05/2026

HERI YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

Want your organization to be the top-listed Government Service in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


670
Dodoma