AICT Iringa

AICT Iringa

Share

Kumwabudu Mungu kwa roho na kweli tukiishi katika maisha utoshelevu.

27/11/2022

Rev. Nyamalya is attending the ordination of Bishop Katoto and the inauguration of the AICT Kati Diocese at AICT Kizota in Dodoma.

21/08/2022

Watoto, Vijana na walimu wao wakihitimisha kambi ya Neno la Mungu kanisani leo Jumapili 21/08/2022.

11/07/2022

Mch Kiongozi wa Pastoreti ya Iringa, Emmanuel Nyamalya, akitambulisha huduma ya kujisomea ya Biblia isiyo ya kidhehebu (Community Bible Study) kwa maaskofu, wachungaji na viongozi wengine wa madhehebu ya Kikristo. Semina iliyofanyika mjini Tabora 8-9/7/2022 ambayo ilihudhuriwa na washiriki zaidi ya 156.

Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship in Iringa?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Ruaha
Iringa

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 16:00
Wednesday 08:00 - 15:00
Thursday 08:00 - 16:00
Friday 08:00 - 16:00
Saturday 08:00 - 15:00
Sunday 07:00 - 18:00