AICT Iringa
Kumwabudu Mungu kwa roho na kweli tukiishi katika maisha utoshelevu.
27/11/2022
Rev. Nyamalya is attending the ordination of Bishop Katoto and the inauguration of the AICT Kati Diocese at AICT Kizota in Dodoma.
Watoto, Vijana na walimu wao wakihitimisha kambi ya Neno la Mungu kanisani leo Jumapili 21/08/2022.
11/07/2022
Mch Kiongozi wa Pastoreti ya Iringa, Emmanuel Nyamalya, akitambulisha huduma ya kujisomea ya Biblia isiyo ya kidhehebu (Community Bible Study) kwa maaskofu, wachungaji na viongozi wengine wa madhehebu ya Kikristo. Semina iliyofanyika mjini Tabora 8-9/7/2022 ambayo ilihudhuriwa na washiriki zaidi ya 156.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Ruaha
Iringa
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 17:00 |
| Tuesday | 08:00 - 16:00 |
| Wednesday | 08:00 - 15:00 |
| Thursday | 08:00 - 16:00 |
| Friday | 08:00 - 16:00 |
| Saturday | 08:00 - 15:00 |
| Sunday | 07:00 - 18:00 |