Rural Development Organization - RDO
1.Usaidizi wa Watoto Yatima 2. Usambazaji wa Maji 3. Mafunzo ya Ufundi Stadi Welcome all,
Regards RDO team:
28/04/2026
Mkurugenzi Mtendaji wa RDO Tanzania, ndugu FIDELIS EMILIO FILIPATALI akishiriki katika Kongamano la pamoja kati ya Serikali na Asasi za kiraia kuhusu Maendeleo endelevu ya Vijana. Kongamano hilo limefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam
20/04/2026
Leo siyo darasani tu—ni shambani pia! 🌱👩🌾👨🌾
Wanafunzi wetu pamoja na wakufunzi wanashiriki moja kwa moja katika kufundisha na kujifunza kwa vitendo kwasababu ndiko kunakojenga ujuzi halisi.
Katika chuo chetu, hatufundishi kwa nadharia pekee—tunalea wataalamu wa kilimo na mifugo kupitia uzoefu wa moja kwa moja. Kila mbegu inayopandwa na kila zao linalovunwa ni sehemu ya safari ya kujifunza, ubunifu na kujitegemea.
Elimu kwa vitendo, mafanikio ya kweli! 🌾✨
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the organization
Telephone
Website
Address
Head Quarters:Tanzania , RDO Kilolo: P. O. BOX 2311 KILOLO
Iringa
P.O.BOX65MAFINGA-
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 17:00 |
| Tuesday | 08:00 - 17:00 |
| Wednesday | 08:00 - 17:00 |
| Thursday | 08:00 - 17:00 |
| Friday | 08:00 - 17:00 |