Manispaa Iringa 1
Ukurasa huu ni maalum kwa ajili ya matukio na habari mbalimbali zinazohusiana na Halmashauri ya Man
20/08/2019
"Niwaombe tuweke Mazingira safi na kuwa wakarimu kwa wageni, pia wananchi waruhusiwe kuvinjali nakuangalia utalii ndani ya Manispaa ya Iringa"
Kauli hiyo imesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe Ally Hapi katika kongamano la utalii karibu kusini lililofanyika ukumbi wa Siasa ni Kilimo ndani ya Manispaa ya Iringa .
Miongoni mwa washiriki katika kongamano hilo ni Pamoja na Wakuu wa Wilaya, Jeshi la polisi, Wamiliki wa mahoteli, Viongozi wa Dini na viongozi mbalimbali wa Serikali nzima kutoka Manispaa ya Iringa. .ryata @
18/07/2019
MKUU WA MKOA WA IRINGA MHESHIMIWA ALLY HAPI AMEZINDUA RASMI HUDUMA ZA MABASI KATIKA STENDI YA IGUMBILO.
Soma zaidi kupitia http://www.iringamc.go.tz
TAARIFA KWA WANACHI JUU YA STENDI YA MABASI YA IGUMBILO
Soma zaidi kupitia http://www.iringamc.go.tz/press-release
09/07/2019
KAMATI YA SIASA YA CCM NGAZI YA MKOA IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MANISPAA YA IRINGA
Soma zaidi kupitia http://www.iringamc.go.tz
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
S. L. P 162
Iringa
AAASSSS
Opening Hours
| Monday | 07:00 - 17:00 |
| Tuesday | 07:00 - 17:00 |
| Wednesday | 07:00 - 17:00 |
| Thursday | 07:00 - 17:00 |
| Friday | 07:00 - 17:00 |