CEO Isack Mathias JR
Kila jambo lina majira na nyakati. Usichoke kusubiri
04/02/2025
Nawakumbusha Tu kuwa Wazee wa zamani walikuwa wanaweka chura hai kwenye maziwa ili yasiharibike kwaiyo Ambao Hamna Mafriji Chukueni Hii Shule👊
Inasadikika kuwa enzymes zilizopo kwenye ngozi ya chura zilikuwa na uwezo wa kuzuia ukuaji wa bakteria, hivyo kusaidia maziwa yasiharibike. Ingawa leo tuna teknolojia k**a majokofu, ni ajabu kufikiria mbinu za asili ambazo zilikuwa na ufanisi wao.
HILI SOMO NIMEKUTANA NALO X(Twitter) HIVYO BADO NAHITAJI MAONI ZAIDI HAPA
We pray for DRC Congo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mtemihamenyimana2016@gmail. Com
Kibaha