Glorious Rehobothi
Tunasaidia kutatua changamoto za uzazi kwa wanawake na wanaume
furaha yetu kukusikiliza na kukuhudumia
Tupigie 0676955586 Wanaume /Wanawake
18/01/2024
🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲
Wapendwa Leo nipo hapa kujibu maswali juu ya uzazi tu
Kuna swali hili kwanin hushiki ujauzito
Wengi Wana lalamika na kuumi wame poteza pesa nyingi na hakuna mabadiliko yoyote
Unaweza kuwa umepima vipimo vyote na ume tibiwa hospital karibu kadhaa lakin bado tatizo la kushika ujauzito ni ngumu kwako
Leo tuongelee tatizo la p I d kwanin iwe p I d ni huu ugwanjwa wa mama tuna upuuzia Sana kwa sababu haukupi maumivu ya papo kwa papo
Ugonjwa huu wa p I d una shambulia via vya uzazi kwa taratibu had unakuja pata dalili tayar Kuna viungo vyako kadhaa vya uzazi vime athirika
Ikiwemo Mirija , Uvimbe mayai kuto kukomaa , Homon lmbalance (Mvurugiko wa hedh)
Hivyo unapo enda kupima ukaambiwa una Uvimbe na kuanza kutibu Uvimbe bila kutibu chanzo Cha tatizo kinacho fanyika Uvimbe ukiisha una otea Tena
Kuna swali hili nime kutana nalo San kwanin p I d siponi au nikipona inajirudia jibu ni hili unapo jitibia p I d je unajitibia wewe na mwenza wako au u ajitibia pekeako unapo jitibia wewe tu Kisha mnakuja kushiriki tendo la ndoa maana yake una rudishiwa bakteria na mwenzio kumbuka p I d kwa mwanaume haina madhara na bakteria wanapo rudi kwako hushambulia via vya uzazi kwa kasi San
Hata u t I msipo jitibia wote kila siku mama utakuwa wa kulala mika kwa u t I
K**a mmeo ni mgumu kujitibia u t I mwanamke jiwekee mda mzuri kila wakati kutumia doz ya maji ya madafuu grass 1 kwa kila siku tia ndimu 3 kwenye grass moja
Haya tukutane kwenye coment una mda gani huja shika mimba je umepima vipimo umeonekana na tatizo gan karibu nikushauli
Pia natoa ofa ya dawa nataka wa mama mfanikiwe
Dalili za p I d
Maumivu ya kiuno
🌱 Maumivu ya mgongo
🌱 Maumivu Makari ya nyonga
🌱Kutokwa na hedh yenye kuambatan na uterezi
🌱Kutokwa na uchafu mzito K**a maziwa mtindi
🌱Kutokwa na hedh yenye kuambatan na mabonge mabonge
🌱Kutokwa na uchafu mzito wenye harufu mbaya K**a shombo la samaki
Piga 0784655710
FAIDA LA PARACHICHI KATIKA MFUMO WA UZAZI KWA MWANAMKE
-parachichi inasource kubwa sana ya vitamin E ambayo inasaidia katika kupambana na ugumba /tasa.
♥Husaidia katika uboreshaji wa afya ya uzazi
♥kuzuia kutoka kwa ujauzito
♥kutengeneza kwa chembe chembe nyekundu za damu nk.🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑🥑
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mbeya