CHAZD
HII PEJI INAWATLETEA BURUDANI NA MATUKIO USIKOSE KUTAZAMA VIDIO NA PICHA KILA WAKATI
22/10/2025
KWA MARA YA KWANZA TIMUNKUTOKANTANZANIA KUWANIA TUZO ZA AFRIKA
HII SASA IMEVUKA VIWANGO VYA BUREEEE FC🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Klabu ya Simba imeteuliwa kuwania tuzo ya Klabu bora ya mwaka Afrika kwa mwaka 2025.
Simba Sports Club inawania tuzo pamoja na
Pyramids FC, RS Berkane, Mamelod Sundowns, Asec Mimosas, Orlando Pirates, Stellenbosch FC, CS Constantine, CR Belouizdad na Al Hilal SC.
Hakuna uchawi,Simba ilicheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita wakati BURE FC 🤣🤣 iliishia hatua ya makundi Klabu bingwa Afrika mwaka wa janaaaa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the establishment
Telephone
Website
Address
ILEMI
Mbeya
21/10/2025