MUST FM Radio - Mbeya

MUST FM Radio - Mbeya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from MUST FM Radio - Mbeya, Media/News Company, Box 131, Mbeya.

04/09/2025
01/08/2022

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dkt. Rashid Chuachua amesema msimu wa mavuno wa mwaka 2021 Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ilizalisha jumla ya tani takribani milioni 10 za mazao ya chakula na tani 636,000 ya mazao ya biashara.

Dkt. Chuachua ametoa kauli hiyo leo wakati akitoa salamu akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera kwenye ufunguzi wa Maonyesho ya Wakulima (Nanenane) Kitaifa, ambapo pia ameeleza kuwa katika kuhakikisha kuna usalama wa chakula, mikoa hiyo mwaka 2022, inatarajia kuzalisha mazao ya chakula kwa ziada ya tani 5,900,000.

Want your business to be the top-listed Media Company in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Box 131
Mbeya