ROCK FM RADIO

ROCK FM RADIO

Share

ROCK FM RADIO

08/01/2025
18/12/2024

Jumatano ya Maombi

repost by

Usinipite tena Mwokozi Jumatano hii 🙏

Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
Yohana 14:14

Karibu tena Jumatano ya Maombi Kumwita Bwana

⏰ 12:30-01:00 ASUBUHI
11:30-12:00 JIONI

⛪ MBEYA KATI SDA

18/12/2024

Thamani ya maisha ya Mwanadamu, iligharimu uhai wa Mwana pekee wa Mungu, Damu yake ya Thamani ndiyo pekee iliweza kununua gharama za wokovu wa Mwanadamu.


Karibu katika wiki ya shukrani na maombi ikiletwa kwako na Kanisa la Waadventista wa Sabato Nyarugusu, Geita. Utabarikiwa na Mahubiri, Shuhuda, Shukrani na Maombi ya kipekee kwa juma zima, Kuanzia Tar 21-28 Disemba 2024, kuanzia saa 12.00 hadi saa 02.00 Usiku, Ibada hizi za kipekee zitarushwa Mbashara kupitia Hope Channel Tanzania | AWR Tanzania na Rock Fm Mbeya, huu utakuwa wakati wa pekee kumshukuru Mungu katika wiki ya mwisho ya kumaliza mwaka 2024.

Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Mbeya