Bora Open School Morogoro
Bora Open School is an effective and competitive Open School and Distance Learning for QT&RESISTERS
Zaburi 1:1-3
Mimi ni MTI uliopandwa kando ya mto, JANI langu halinyauki wakati wote. na kila nilifanyalo linafanikiwa..
* Jani langu halitegemei mvua ili lichanue (Sitegemei mshahara ili niishi)
* Ustawi wangu ni wa MSIMU mzima wa mwaka ( jua na masika)
*Siishi kwa mifumo inayowatawala wengine, mimi mfumo wangu ni wa kimbingu.( Neno la Mungu/ Sauti ya Mungu kwangu)
*Sitegemei TUME huru ili kushinda, Mungu atanitangaza mioyoni mwao hata k**a hawataki.
*Jua langu sio jua lao, kwangu ni MWANGAZA wa kuziona fursa kwao ni Moto wa kuwakausha.
*Utafutaji wangu sio k**a wao Mimi NARITHI baraka za Ibrahimu wao huaswa ili kufanikiwa.
"I'M BELONGS TO JESUS"
20/04/2025
Adui mkubwa wa mtu, uko kwa mtu anayempotezea muda....
Kufanya kazi kwenye kiwanda cha sabuni ya maji , hakumfanyi mtu kuwa msafi, Mpaka amechukua hatua ya kuchukua maji na kuamua kuoga...
Yakobo 1:22-25.
27/02/2025
Yeremia 1:
(Jeremiah)
5. Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.
---------------
"Before I formed you in the womb I knew you; Before you were born I sanctified you; I ordained you a prophet to the nations."
Maiha yetu yamebeba kusudi la Mungu ambalo llazima litatimia tu....
"The mother of idiots is always pregnant 🤔
You can ignore the bogus electoral system but you cannot ignore the consequences of ignoring the bogus electoral system "
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Morogoro