Wami Ruvu Basin
Taasisi ya Serikali unayohusika na utunzaji wa rasilimali za Maji.
Wajumbe wa Bodi ya Sita, Bodi ya Maji, Bonde la Wami/Ruvu wamefanya ziara ya kutembelea mito iliyokumbwa na uharibifu kutokana na mvua zilizonyesha mwanzoni mwa mwezi wa kwanza katika Wilaya za Kilosa na Morogoro pamoja na kujione jitihada zilizochukuliwa na Ofisi ya Bonde la Wami/Ruvu za kuzuia madhara zaidi yasiweze kujitokeza hasa katika kipindi hiki cha mvua za Masika zinazotarajiwa kunyesha kwa kipindi hiki kuanzia wiki ya 4 ya mwezi wa Pili hadi Wiki ya Pili ya Mwezi wa Tano.
25/12/2023
Tunawatakia Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mazimbu Road
Morogoro