Ahmad Machaku

Ahmad Machaku

Share

Hapaa unakutana na taarifa zinazinihusu na kuwahusu wengine, za kijamii, mada nk

27/05/2026

Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro Mh. Dr. Jamillah Hassan Miyonga , anawatakia Eid Mubarak waislam na Watanzania wote Kwa jumla

18/05/2026

Offer ya Sikukuu ya Eid kutoka Morogoro.
Fika Sasa Dukani kwetu Morogoro mzigo mpo wa kutosha Sasa .

siku zote Tupo kuhakikisha Mwanao anatokelezea Kwa kiatu Cha kijanja haswa katika msimu huu wa sikukuu.

Unajua Viatu vya vipoje?
​✅ Viatu vyetu ni original
✅ Size zote zinapatikana kuanzia watoto wadogo hadi wakubwa.

​📍 Tupo: Jengo la Mangesho, Mtaa wa Uhuru, Morogoro Mjini
📞 Mawasiliano: 0743 744 878
📲 Instagram:
​"Wahi sasa umfurahishe mtoto wako "

Want your establishment to be the top-listed Arts & Entertainment in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Morogoro