Morogoro Region
Ukurasa huu ni kwaajiri ya watu wanaotokea Morogor na Wale wenye Mapenzi mema na Mkoa wa Morogoro, Karibu sana ili tuweze kufahamiana na kutambuana.
Bofya link hii kuingia kwenye group letu la WhatsApp
15/02/2024
Hali zenu nyote!!
Kipindi hiki cha kukatika katika kwa umeme na wakati mwingine LUKU kuisha nyakati mbaya au usiku wa manane.
Tunawaletea taa za njia mbili yaani itatumika pindi umeme upo na ukiisha au kukatika itaendelea kuwaka (two ways rechargable bulb)
Zinazotumia betri bei ya jumla Tshs. 15,000/= rejareja ni Tshs. 18,000/=
Za moja kwa moja (hazitumii betri) rejareja Tshs. 13,000/= jumla ni Tshs. 10,000/=
Jumla ni kuanzia PC 5.
📱+255625424924
+255768941177
Karibu sana tutakufikishia mzigo kwa wakati na kwa uaminifu mkubwa.
NB:
- wateja wetu gharama za usafirishaji ni juu ya mteja.
Malipo ya bidhaa ni pindi tu unaweka oda yako.
Asanteni sana
28/05/2022
MIKUMI DAY TRIP
```07-07-2022 - Saba Saba Special```
Tanzania Natural Experiences
inakuletea trip ya utalii kwenda hifadhi ya Mikumi.
💰GHARAMA
📍Dar ➖ Mikumi ➖ Dar
👤 Tanzanian 85,000/=
👤NON CITIZEN 180,000/=
♂️Moro - Mikumi - Moro
Mtanzania Tshs. 45,000/=
Mgeni wa nje Tshs. 85,000/=
Hiyo inahusisha:
Usafiri kwenda na kurudi, viingilio, vinywaji, chakula n.k
MALIPO
📱M-PESA LIPA NAMBA
5886550
Jina: Swahili Eco Tourism
🏦CRDB BANK
0152304156200
👥 Herbert George
*💥DEADLINE 03-07-2022💥*
UNARUHUSIWA KUANZA KUPUNGUZA KIDOGO KIDOGO.
+255782951177 What'sapp
+255625424924 sms/call
[email protected]
🌴TWENZETU MIKUMI - Saba Saba Special
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Msamvu
Morogoro