Mkulima Market

Mkulima Market

Share

Mkulima Market ni fursa ya kuonesha na kuuza bidhaa za kilimo, ufugaji na uvuvi

18/09/2025

Vijana Mwanza Waishukuru Serikali na TADB kwa Msaada wa Zana na Mikopo ya Ufugaji Samaki\n\nVijana wafugaji wa samaki kwa njia ya vizimba katika Ziwa Victoria, jijini Mwanza, wameishukuru Serikali pamoja na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kuwapatia vitendea kazi na mikopo ya kuendeleza miradi yao.\n\nWamesema msaada huo umekuwa mkombozi mkubwa, kwani umewezesha vijana wengi kuanzisha na kuendesha shughuli za ufugaji samaki kwa ufanisi, hivyo kuongeza ajira na kipato kwa wananchi wa Mkoa wa Mwanza.\n\nKupitia mikopo na vifaa walivyopatiwa, vijana hao sasa wana uwezo wa kufuga samaki kwa kiwango kikubwa zaidi, jambo linalochangia kukuza uchumi wa kaya zao pamoja na kuinua sekta ya uvuvi nchini.\n

30/08/2025

Je nini Faida ya Maziwa kwa Kuku??

11/07/2025

.movement

Want your business to be the top-listed Shop in Moshi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Address


Kilimanjaro
Moshi