RAMMY MEDIA
Welcome All in RAMMY MEDIA kuwa wa kwanza kupata New Updates za kutosha anytime karibu sana usisahau ku like page yetu
23/01/2025
Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini mwa Los Angeles, California nchini Marekani.
Moto huo uliopewa jina la The Hughes Fire, unatajwa kuwa mkubwa kwa theluthi mbili ukilinganishwa na Moto wa Eaton ulioiteketeza vibaya Los Angeles.
23/01/2025
TRUMP KUREKEBISHA SHERIA YA TALAKA
Rais wa 47 wa Marekani Donald Trump amesema anataka kurekebisha sheria ya Talaka Nchini humo akisema imekuwa ikiwatesa wanaume nchini Marekani na kuwafaidisha wanawake licha ya wanawake kuwa wameolewa wamezikuta Mali
"Kwa sababu tu unaolewa na mtu tajiri haimaanishi kwamba unapaswa kupata nusu ya mali yake na hatimaye kuwa tajiri baada ya talaka.
Talaka imekuwa biashara yenye faida kubwa kwa wanawake wengi nchini Marekani na nitaikomesha. Ikiwa mwanamke ataolewa na mwanamume tajiri, haimaanishi kwamba ataondoka k**a mwanamke tajiri baada ya talaka. Ikiwa baada ya talaka mwanamke anahitaji pesa, mwanamume anaweza kumuazima kiwango cha juu cha $1-milioni ikiwa ana dhamana. $1-milioni sio pesa nyingi kwa tajiri lakini inapaswa kuwa nyingi kwa mwanamke kwa sababu hakuifanyia kazi.
Ikiwa nina thamani ya $50-milioni, sitakupa $25-milioni baada ya talaka.
Ni pesa yangu na niliifanyia kazi kwa bidii sana. Sijali k**a tumeoana kwa miaka 6 au hata miaka 25 au hata tuna watoto. Ikiwa huna pesa za kutosha kuwatunza watoto wetu, niachie mimi. Nafikiri kwamba kwa sababu tu mtu fulani anaoa mtu ambaye alijenga kitu kikubwa, haimaanishi kwamba kwa sababu tu anapata talaka, wanapaswa kuishia k**a Malkia wa Sheba." ~ Donald Trump
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Telephone
Website
Address
Mwanza