Jembefmtz
Jembe FM was created with one goal in mind: to bring the world’s most popular music and creative
14/05/2026
Michuano ya Fahari Super Cup msimu wa tano imeendelea kulindima kwenye uwanja wa Ngomeni Kisesa wilaya ya Magu mkoani Mwanza katika hatua ya 32 bora kupigwa
Timu ya First Green FC ya Buswelu Ilemela imetupwa nje ya michuano hiyo na timu ya Watubaki FC ya Kanyama baada ya kuibuka na ushindi wa mabao matano kwa bila
Baada ya mchezo huo kupigwa Watubaki FC inakuwa timu ya sita kutinga kwenye hatua ya 16 bora ikiungana na timu za Talent boys,Zabona ,Cho cha Mipango,Mkemia na Chamalawana(Sabasaba).
Follow Us On Social Media
Instagram -
Facebook -
X(Twitter) -
TikTok -
Thread -
13/05/2026
Klabu ya Yanga hatimaye imepoteza kwenye michuano ya ligi kuu ya NBC Tanzania bara baada ya kupokea kichapo cha mabao matatu kwa mawili dhidi ya Dodoma Jiji FC mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Airtel mkoani Singida
Katika mchezo huo mabao ya Yanga yamefungwa na Allan Okello huku kwa upande wa Dodoma jiji FC yamefungwa na Waziri Junior ,Mwanakibuta na bao la kujifunga la Bakari Mwamnyeto
Baada ya mchezo wa leo Yanga inaendelea kusalia kileleni na alama zake 54 huku Dodoma jiji FC ikifikisha alama 32 kwenye nafasi ya saba.
Follow Us On Social Media
Instagram -
Facebook -
X(Twitter) -
TikTok -
Thread -
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Jembe FM/Makongoro Road/Makongoro Street
Mwanza
255