Kitambo Inspiration
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kitambo Inspiration, Writer, Isamilo, Mwanza.
16/05/2026
Ndioooooo
Hakuna Cha kumzuia mtu mwenye njaa na mafanikio
1.Esau hakuweza kumzuia Yakobo
2.Labani hakuweza kumzuia Yakobo
3.Malaika hakuweza kumzuia Yakobo
Ukiamua kubadili maisha YAKO hakuna Cha kukuzuia..
Changamoto ni nyingi lakini utashinda..
Warumi 8:37
[37]Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda.
Nay, in all these things we are more than conquerors through him that loved us.
Kitambo Inspiration
01/05/2026
KWANINI KIFO CHA YESU NI MHIMU?
Shalom wapendwa :
Ukisoma waraka kwa WAEBRANIA sura ya 9 na 10 anatueleza mambo ya MHIMU sana:
1.Mungu alikuwa ameweka utaratibu wa kufuta dhambi za watu kwa kuhani kutoa sadaka ya damu ya wanyama ..mbuzi ..kondoo nk utaratibu unaelezwa zaidi katika walawi 1 na 4
2.sadaka hizi za wanyama hazikufuta kabisa dhambi Bali zilifunika TU dhambi ..
3.Damu ya Yesu inakuja kuwa mbadala wa sadaka za wanyama..yaani hamna haja ya kafara za wanyama..mtu akitenda dhambi anatubu TU pasipo kuhitaji kutoa kafara ya mnyama..
Waebrania 9:13-14
[13]Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ng’ombe waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa hata kuusafisha mwili;
[14]basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai?
Waebrania 10:14
[14]Maana kwa toleo moja amewakamilisha hata milele hao wanaotakaswa.
Hapa ndo kiini Cha ukristo pasipo KIFO CHA Kristo hakuna wokovu na hakuna ukristo ..
Na ndo msingi wa KIFO CHA YESU .
1 Petro 1:18-19
[18]Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu;
[19]bali kwa damu ya thamani, k**a ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo.
Waebrania 13:12
[12]Kwa ajili hii Yesu naye, ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa nje ya lango.
TATIZO NI NINI?
YESU KARNE YA KWANZA
Mathayo 16 21
Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.
Mathayo 16 22
Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, Hasha, Bwana, hayo hayatakupata.
Mathayo 16 23
Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.
karne ya 7.
Qurani Suratul An-Nisaa (Wanawake) 4:157-158
“Na kwa (ajili ya )kusema kwao sisi tumemuua masihi Isa mwana wa Maryamu, mtume wa Mungu. Hali hawakumuua wala hawakumsulubu bali walibabaishiwa (mtu mwingine wakamdhani nabii Isa.) Na kwa hakika wale waliokhitalifiana katika (hakika)hiyo (ya kumuua nabii Isa) wamo katika shaka nalo (jambo hilo kusema kauwawa]. Wao (kabisa) hawana yakini juu ya (jambo)hili (la kuwa kweli wamemuua nabii isa) isipokuwa wanafuata dhana tu.Na kwa yakini hawakumuua. Bali mwenyenzi Mungu alimnyanyua kwake. Na mwenyenzi Mungu ni mwenye nguvu (na)mwenye hikima.
Hapa umejifunza nini ndugu?
1.Yesu alishaanza kujitabiria kusulubiwa kwake na kufa na kufufuka kwake kabla ya kuk**atwa na wakuu wa makuhani.
2.Petro hakuamini k**a haya mabaya yatampata akataka kupinga ,Yesu akamwita Petro SHETANI kwasababu alipinga kifo na ufufuo wa Yesu.
KWAHIYO KUMBE
wanaosema Yesu hakufa msalabani ni MASHETANI wala hawawazii ya Mungu, ndio maana tunasema Jibril aliyemtokea Muhammad si yule Gabriel wa Biblia bali ni Lucifer mkuu.
3.Kur'an inapinga KIFO CHA YESU yaan inadai Yesu hakusulubiwa na hakufa kabisa msalabani.. HUU NI MSIBA
K**a Yesu hakufa maana yake hakuna ondoleo la dhambi hivo tunapaswa kuendelea kutoa kafara za wanyama Ili dhambi zetu zifutwe..
Na k**a hakuna dhabihu sisi sote tunadhambi makao yetu ni jehanamu..
SIKU ZOTE HUWA NAWAAMBIA JIBRIL ALIWAPIGA CHENGA YA KISIGINO WAISLAMU
Maana ni kweli wanabidii katika kumtafuta Mungu lakini SI katika maarifa ..maana Mungu ameweka KANUNI ya kuwahesabia mtu kuwa Hana hatia ambayo ni kumwamini Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu...
K**a hawaamini Basi mwisho wao ni jehanamu..
Yohana 3:16-18
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
[17]Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
[18]Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.
Warumi 10:2-3
[2]Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa.
[3]Kwa maana, wakiwa hawaijui haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.
Yohana 14:6
[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Jesus saith unto him, I am the way, the truth, and the life: no man cometh unto the Father, but by me.
Nakuarika kwenye ufalme wa Yesu uokoke leo ili uurithi ufalme wake.
RUDI NYUMBANI YESU ANAKUPENDA.
Mengu awabariki
page hii uendelee kujifunza zaidi
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Telephone
Address
Isamilo
Mwanza