zerynerb

zerynerb

Share

Healthy and beauty skin care

Photos 22/07/2019

Hii ni set ya Aloe vera
*sifa na kazi za Aloe vera na Olive Oil*

1: Aloe vera (Mshubiri)
Huondoa makunyanzi na mikunjo ya ngozi

Ngozi hupenda sana Vitamini C na E ambazo zote zinapatikana katika aloe vera na kusaidia kuboresha unene wa ngozi na kuiacha katika hali ya umajimaji. Ikiwa utachanganya jeli ya aloe-vera na mafuta ya asili ya n**i utapata krimu nzuri ya kuongezea viinilishe, mafuta mhimu na unyevunyevu katika ngozi.

2:Olive Oil (Mafuta ya Mzeituni)
📌Ni tiba nzuri sana ya vidonda, mabaka na makovu ya mwilini
📌Yanaweza kutumika kwa kulainisha ngozi.
📌Yanasaidia kutibu tatizo la mzio wa ngozi.
📌Yana kiasi kikubwa cha Vitamin A,D,E na K ambazo zinasaidia kuondoa sumu ya kwenye ngozi.
📌Matumizi ya mafuta ya mzeituni yataifanya ngozi yako iendelee kuonekana changa na yenye afya wakati wote.
📌Matumizi ya mafuta ya mzeituni yanasaidia kutibu matatizo na magonjwa yote ya ngozi.

Photos 13/10/2018

Welcome oriflame

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kirumba
Mwanza