Swahili show, Sagal Radio
Swahili Show on Sagal Radio serves the mission of educating and empowering the New Americans as well
12/04/2020
BREAKING NEWS,KENYAN MP DIES
03/04/2018
MVUA YASABABISHA MSONGAMANO MKUBWA WA MAGARI KENYA.
By Michael Mutinda
Wasafiri na abiria nchini kenya wametaabiki leo kwa zaidi ya saa kumi na tano kufuatia msongamano mkubwa wa magari kwenye barabara kuu ya mombasa kwenda katika jiji kuu la taifa hilo nairobi.
Msongamano huo ulioanza jumamosi usiku baada ya ajali iliyotokea mjini athirive baina ya gari ndogo na lori ambapo mtu mmoja alipoteza maisha ulizidishwa na mvua kubwa inayoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali mwa taifa hilo.
Hata hivyo maafisa wa polisi wa trafiki kutoka kaunti ya mcahakos walifanikiwa kufungua msongamano japo baada ya muda mrefu.
Barabara ya Mombasa Nairobi ni mojawapo ya barabara zenye magari mengi zaidi nchini kenya na ni muhimu kwani inaunganisha pwani ya nchi hiyo na makao makuu ya taifa la kenya na wembamba wake umekuwa sababu kuu za misongamano kila wakati sasa ikitarajiwa kupanuliwa karibuni baada ya taifa la kenya kuweka sahihi na serikali ya marekani itakayopanua barabara hiyo.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
4151 Memorial Drive
Decatur, GA
30032